Karibu Sana.

Cheka Unenepe

Tuesday, July 6, 2010

Nyoka na story

Nyoka wawili walikuwa wakiongea na lugha yao. Mmoja akamuuliza mwenzake 'sisi tuna sumu?'
Mwenzake akajibu 'ndio, vipi kwani?'
Wa kwanza akajibu, 'nimejing'ata ulimi'

No comments:

Post a Comment