Karibu Sana.

Cheka Unenepe

Tuesday, July 6, 2010

Singa singa

Mtoto mmoja alikuwa yupo kwenye mgahawa na mama yake. Pembeni kidogo kulikuwa na singa-singa ana ndevu paka mdomo hauonekani akiwa anakula karanga.

Yule mtoto akamuambia mama yake 'mama... mama... huyo pembeni hana mdomo...'

Singa-singa alimsikia yule mtoto akimwambia mama ake nae akaamua kuufunua mdomo na kumuonyeshea na kuonge huku akionyeshea mdomoni ''na hii k** yako?'

No comments:

Post a Comment