Karibu Sana.

Cheka Unenepe

Wednesday, July 7, 2010

Gari latumia nini?

Dogo mmoja alikuwa amekaa na baba ake kibarazani, punde likapita gari dogo linatoa moshi kweli kweli...

Mtoto akamuuliza dad ake ''baba, ile gari inatoa sana moshi. Inatumia kuni?''

No comments:

Post a Comment