Karibu Sana.

Cheka Unenepe

Tuesday, July 6, 2010

Taxi

Jamaa alilewa pombe alipokuwa akitoka bar akaingia kwenye gari yake, kwa vile pombe zilikuwa nyingi kichwani akajikuta akiuliza akiwa kwenye gari yake ''taxi driver wa gari hii yupo wapi?'' akimuuliza mlinzi.

No comments:

Post a Comment