Karibu Sana.

Cheka Unenepe

Wednesday, July 14, 2010

Gari ya polisi

Mama mmoja alikuwa speed akaipita gari ya polisi. Akamwambia mwanae aangalie nyuma kama gari ya polisi inawafuata.

Mtoto akajibu, ''ndio inatufuata!''
Mama: Je wamewasha taa zao za polisi?
Mtoto akajibu tena: Yes...No...Yes...No...Yes...!!
Kama ujuavyo king'ola...

No comments:

Post a Comment