Karibu Sana.

Cheka Unenepe

Wednesday, July 14, 2010

Kwenye ndege

Siku moja kwenye ndege (boeng) pailot alitangaza kuwa injini moja imekufa lakini zipo zingine tatu itatuchukua saa moja angani.

Nusu saa baadae akatangaza tena injini ingine imekufa na kusema tunazo bado zingine mbili itatuchukua nusu saa angani.

Abiria mmoja akasema kwa mwenzake 'kama zikifa na hizo mbili tuwepo huku angani all day.'

No comments:

Post a Comment