Karibu Sana.

Cheka Unenepe

Wednesday, July 7, 2010

Hausi-dada

Dada mmoja wa kazi za ndani alipogizwa apike chakula cha jioni na mboga iwe samaki.

Basi dada ilipofika jioni wakati anatenga chakula mezani akawa anamuambia mama mwenye nyumba 'mama samaki nlikosa hivyo nimewachukua wale wa kwenye bwawa dogo la kioo sebuleni nimewakaanga'

No comments:

Post a Comment