Karibu Sana.

Cheka Unenepe

Wednesday, July 7, 2010

Panya

Kulikuwa na panya wawili mkubwa na mdogo.

Mkubwa: Leo inabidi utumie ile mbinu ya kung'ata halafu unapuliza umesikia?
Mdogo: Eh!
Mkubwa: Eh nini?
Mdogo: Si miguu ya yule mtu mi naogopa mafua inanuka sana.
Mkubwa: Panya haogopi mafua wewe alah...!

No comments:

Post a Comment