Karibu Sana.

Cheka Unenepe

Saturday, July 10, 2010

Kabla ya kufa...

Jambazi mmoja alivamia nyumba na kukuta mke na mume.
Akamkamata mke na kumuwekea kisu shingoni na kumuambia, ''nataka nijue jina lako kabla sijakuua''

Mwanamke akajibu, ''Elizabeth'' jambazi akasema, ''oh mama yangu pia anaitwa Elizabeth'' akamuachia huru.

Alipomkamata Mume, ''na wewe jina lako nani?''
Mume akajibu, ''naitwa Josh ila rafiki zangu huniita Elizabeth''

No comments:

Post a Comment