Karibu Sana.

Cheka Unenepe

Saturday, July 10, 2010

Hahahaha...

Mke na mume walienda ART GaLLeRY. Wakaona picha kubwa ya M'ke akiwa uchi. Na jani moja tu limefunika sehemu nyeti. Mkewe kama hakuipenda ile hali hivyo, mke akamuuliza mumewe ''tuondoke unasubiri nini?''
Mume akajibu, ''nasubiria upepo mkali upulize''

No comments:

Post a Comment