Karibu Sana.

Cheka Unenepe

Saturday, July 10, 2010

Injinia...

Kwenye gari kulikuwa na ma-injinia wawili na dereva wakisafiri. Injinia wa umeme na wa madirisha.

Ghafla gari ikaloga na kuzima.

Injinia wa umeme akashauri aangalie wapi tatizo lipo afanye uchunguzi.
Injinia wa madirisha, ''sijui vizuri mambo ya magari lakini nashauri kwa nini tusifunge madirisha yote, tushuke, halafu turudi, tufungue madirisha labda itasaidia.''

No comments:

Post a Comment