Karibu Sana.

Cheka Unenepe

Saturday, July 10, 2010

Mtihani-hesabu

Mtoto mmoja akimueleza baba ake.
Mtoto: Baba nimepata F hesabu.
Baba: Kwa nini?
Mtoto: Mwl. Aliniuliza 2x3=? Nkamjibu 6.
Baba: Mbona jibu sawa.

Mtoto: Halafu mwl. akaniuliza tena 3x2=?
Baba: What's the f**kng difference?
Mtoto: Hivyo ndivyo nlivo sema.

No comments:

Post a Comment