Karibu Sana.

Cheka Unenepe

Saturday, July 10, 2010

Beach na mkasa.

Jamaa mmoja alikuwa amejilaza beach akiwa uchi. Ghafla kwa mbali akaona msichana anakuja, akaamua jifunika eneo nyeti na kipande cha gazeti.

Msichana alipofika akamuuliza yule kijana...
'kuna nini hapo chini ya gazeti?' jamaa akamjibu, 'hamna kitu ni ka-ndege tu nimekafunika'
Msichana akaendelea safari yake, jamaa akajilaza na kuuchapa usingizi. Alipokuja kuzinduka akajikuta yupo Hospitali.

Polisi wakamuuliza jamaa akajibu ''nilikuwa nimelala beach kuzinduka najikuta hapa hospital.''
Polisi wakaenda beach na kumkuta yule dada na kumuhoji 'umemfanya nini yule jamaa aliekuwa uchi?'

Dada akamjibu, ''nothin, mi nkicheza na ka-ndege ndio akanitemea mate meupe ndo nikamvunja shingo yake na yale mayai yake...''

No comments:

Post a Comment