Karibu Sana.

Cheka Unenepe

Saturday, July 10, 2010

Kwenye daladala

Mtoto mmoja alipanda daladala, akawa anajiongelesha akiwa nyuma ya kiti cha dereva ''baba yangu angekuwa ng'ombe mi ningekuwa ndama.'

''Baba yangu angekuwa Nyati mi ningekuwa ndama.''
Dereva akamwambia yule mtoto baada ya kuchoshwa na kelele zake. Akimuambia kwa ukali, ''je baba ako angekuwa shoga, halafu mama yako malaya ungezaliwa nani?''

Mtoto akajibu, ''ningekuwa dereva daladala.''

No comments:

Post a Comment