Karibu Sana.

Cheka Unenepe

Friday, July 2, 2010

Konyagi...

Marafiki wawili walikuwa bar, mmoja akamshauri mwenzake anye konyagi siku hiyo.
Alieshauriwa akajibu:

'aah hiyo, unaweza ukasikia kama umedondosha kitu ukadhani labda walet hivi, kumbe maini...'

No comments:

Post a Comment