Karibu Sana.

Cheka Unenepe

Friday, July 2, 2010

Chabo...

Kuna jamaa watatu walienda kupiga chabo (chungulia wakiofanya mapenzi) wa kwanza kachungulia fresh, wa pili na ivo ivo.

Wa tatu alipoenda kupiga chabo jamaa c akastukia mchezo, akachukua stick ya kuchomea mishkaki.

Si akamchoma jamaa alipokichungulia, jamaa aliechombwa akasema baada ''aah jamaa kastukia bwana kazima taa bwana''

No comments:

Post a Comment