Karibu Sana.

Cheka Unenepe

Friday, July 2, 2010

Wodi ya vichaa

Jamaa katika wodi ya vichaa walichorewa gari wakaambiwa wakapande. Vichaa wote wakakimbilia, wawili wakabaki.

Daktari akajua hawa ndio wamepona, akaenda na kuwauliza ''enh nyie mbona mmebaki?''

Wa kwanza akajibu: Me nna washangaa gari yenyewe ina pancha.
Wa pili: Me nasubiri wapande kwanza funguo nnazo mimi.

No comments:

Post a Comment