Karibu Sana.

Cheka Unenepe

Friday, July 2, 2010

The mchaga

Jamaa mmoja alienda bank kuomba mkopo. Afisa mikopo akajaribu kuangalia jinsi ya kulinda mkopo wa bank wa sh 150,000. Afisa mikopo akashauri jamaa aiweke bondi benz yake.

Bila hiyana jamaa akaweka na kuipaki eneo la benki. Wiki 4 baadae akarudisha mkopo na riba juu elfu 15.

Afisa mikopo akamuambia, 'mzee nimetambua kuwa wewe ni milionea je imekuwaje haya yote?''

Jamaa akajibu, 'ningepata wapi pa kupaki gari yangu kwa elfu 15 siku zote hizi kwa bei nzuri hivi?'

No comments:

Post a Comment