Karibu Sana.

Cheka Unenepe

Friday, July 2, 2010

Simu ya mkononi.

Jamaa mmoja alidondosha simu ikatumbukia kwenye choo. Akatoka mbio mbio mpaka sebuleni. Mkewe akamuuliza 'vipi?'

Jamaa akajibu 'simu'
mke akauliza, 'simu? Imefanya nini?

Jamaa: imetumbukia chooni, hebu niazime yako...'
Mke: ili uibeep au?

No comments:

Post a Comment