Karibu Sana.

Cheka Unenepe

Thursday, July 15, 2010

Kupanda ndege

Jamaa mmoja mara ya kwanza kupanda ndege. Akamuita mhudumu wa kwenye ndege na kumuambia kabla ya kupaa ''samahani, kamuambie pailoti asipite njia ya tazara saizi kuna foleni sana.''

No comments:

Post a Comment