Karibu Sana.

Cheka Unenepe

Thursday, July 15, 2010

Kwa niaba

Cha pombe mmoja kila akienda baa huagiza bia mbili. Mhudumu siku moja uzalendo ukamshinda. Akauliza ''kwa nini waagiza bia 2 kila ukija?''
Mnywaji: Nilikua nakuja na rafiki yangu, amekufa so nakunywa niaba yake.
Siku chache mbele akaja akaagiza 1.
Mhudumu alipouliza 'kulikoni?'
Mnywaji akajibu: Nimeamua kuacha kunywa.

No comments:

Post a Comment