Karibu Sana.

Cheka Unenepe

Thursday, July 15, 2010

Nguo ya nani?

Jamaa wa kwanza aliingia bar amevaa fulana nzuri, mhudumu akauliza ''umepata wapi hiyo fulana?''
Akajibiwa "kwa Josh''

Wa pili, akaingia kavaa suruali nzuri. Nae akajibu vivyo hivyo.
Wa tatu, akaingia amevaa viatu vizuri nae vivyo hivyo akajibu.

Akaingia mtu akiwa uchi mhudumu akamuuliza, ''wewe nani unatembea uchi?''
Akajibu ''mimi Josh''

No comments:

Post a Comment