Karibu Sana.

Cheka Unenepe

Thursday, July 15, 2010

Dawa

Jamaa akiongea na simu. Baada ya maneno mawili matatu aliepigiwa akaulizwa 'kwani upo wapi?' na kujibiwa 'nipo makete'

Mwenzake akamwambia ''oh upo makete! Njoo basi na ka-dawa ka biashara''

No comments:

Post a Comment