Karibu Sana.

Cheka Unenepe

Tuesday, July 6, 2010

Mama kichaa

Mama mmoja mgonjwa wa akili alifanyiwa uchunguzi ajue kama ni amepona ugonjwa wa akili.

Yule mwanamke akamleta buibui mezani mbele ya daktari na kuanza kumuamrisha 'tembea tembea...'
yule buibui akawa hatembei.

Daktari akauliza: Mbona hatembei sasa?
Mama: Akajibu, unaona nilikuambia nimegundua kitu.
Daktari kitu gani?
Mama: Nimemtoa miguu yote so hawezi kunisikia.

No comments:

Post a Comment