Karibu Sana.

Cheka Unenepe

Tuesday, July 13, 2010

Siti...

Kaka mmoja wakati anaingia 'movie theatre' akamuuliza ''dada mbona una ticket mbili? Yupo wapi mwenzako?''

Dada: Anha nipo peke yangu, nimekata ticket mbili kwasababu viti ya ukumbi huu vidogo sana hivyo nkikaa kwenye viwili ndo ntaenea.''

Yule kaka akamjibu tena yule dada ''mbona tiketi zako zaonyesha kiti namba 31 na 43?''

No comments:

Post a Comment