Karibu Sana.

Cheka Unenepe

Tuesday, July 13, 2010

Watoto na tv...

Siku moja baba na mama walitoka kwenda kuoga wakawaacha watoto wakiangalia tv.

Watoto wakachukua 'video tape' juu ya tv na kuiweka kumbe ni ya x. Wakawa wanapiga mayowe, baba akamwambia mama yao atoke aende akaangalie kulikoni.

Mama akavaa khanga kufika sebuleni akakuta ile x akavua khanga na kuifunika tv, watoto wakazidi kupiga mayowe...

Baba akaona nae aje, akavaa taulo. Kufika sebuleni na yeye akavua taulo ili amfunike mama. Watoto wakapiga kelele zaidi...

No comments:

Post a Comment