Karibu Sana.

Cheka Unenepe

Tuesday, July 13, 2010

Interview

Jamaa mmoja alienda kwenye usahili (interview). Alikuwa msumbufu sana kwenye maisha yake ya ndo.

Alipofika kwenye interview ilipofika zamu yake alipoingia ile meza ya usahahili alikutana na watu wanne, wote wanawake, mbaya zaidi hao wanawake alowakuta wote walishawahi kuwa wake zake....

No comments:

Post a Comment