Karibu Sana.

Cheka Unenepe

Monday, July 12, 2010

Uwiii

Huku akionyesha katika ramani ya dunia iliyobandikwa ukutani, mtoto wa miaka mitano alimuuliza baba yake:
Mtoto: Baba eti Brazil iko wapi?
Baba: Muulize mama yako kwa maana yeye ndo mwenye tabia ya kufichaficha vitu humu ndani!!!

No comments:

Post a Comment