Karibu Sana.

Cheka Unenepe

Sunday, July 4, 2010

Treni

Siku moja mwanamke na mwanaume walijikuta wamelala chumba kimoja kwenye, kila mmoja wao ana wake wa ndoa nyumbani.

Usiku ulipofika, jamaa akamwambia yule dada, ''dada samahani naomba nichukulie shuka la pili hapo kwenye kabati'' jamaa akiongea toka kitanda cha juu.

Dada: Kaka, hebu tu-pretend kama tumeoana.
Kaka: Oh, hiyo safi sana.
Dada: Nenda kachukue shuka lako mwenyewe.

No comments:

Post a Comment