Karibu Sana.

Cheka Unenepe

Sunday, July 4, 2010

Wanaume wa3

Walisimama kwenye ghorofa,
M'ume wa kwanza akaiachia saa yake ilipofika chini ikavunjika.
Wa pili na ivo ivo.
Wa tatu akaiachia, kisha akaenda chini kuifuata.

Wale wawili wakajiuliza mwenzetu....?
Yule wa tatu akawajibu ''saa yangu inachelewa dk5''

No comments:

Post a Comment