Karibu Sana.

Cheka Unenepe

Friday, June 18, 2010

Bi. Mkubwa

Bi. Mkubwa mmoja alikuwa hajamuona mjukuu wake siku nyingi... Siku alipomuona:

Bi. Mkubwa: ...marhaba mjukuu wangu. Sijakuona siku nyingi sana.
Mjukuu: Nipo tu bibi angu.
Bi. Mkubwa: Unafanyia wapi kazi siku hizi?
Mjukuu: Akaitaja kampuni.
Bi. Mkubwa: Ndio wanashughulika na nini hiyo kampuni?
Mjukuu: Kutengeneza vifanyio?
Bi. Mkubwa: Vifanyio...!? Vifanyio...?? Vifanyio..? Mh! Ndio nini mjukuu wangu?
Binamu akadakia: Bibi vifanyio si condom...

No comments:

Post a Comment