Karibu Sana.

Cheka Unenepe

Tuesday, June 15, 2010

Joto

Warembo wawili walipata dili ya kufanya usafi kwa jamaa mmoja. Sasa wakati wapo ndani joto lilizidi kwani ac ilikuwa mbovu, hivyo mmoja akashauri kwa vile wapo wao tu wavue nguo na kufanya usafi wa nyumba. Ghafla mlangoni 'ngo ngo ngo'

Mmoja akadakia 'we nani?' mtu alie mlangoni akajibu 'kipofu' ooh wakafungua mlango.

Jamaa alipoingia akasema ''naitwa kipofu, wow matiti mazuri''

No comments:

Post a Comment