Karibu Sana.

Cheka Unenepe

Thursday, June 17, 2010

Khaa!

Baba mmoja rafiki ake walienda hospitali kumuangalia mtoto wake mdogo. Akachukua miwani yake mpya ya macho akaivaa (sijui amuone vizuri mtoto? Huku nesi yu pembeni pia) na kumuangalia na kumuongelesha chwi... chwi... chwi... Huku akiongea angalia angalia anatabasabu.

Rafiki yake akamjibu ''mwanao hajatabasamu lakini.''
Baba: Nazumngumzia nesi...!

No comments:

Post a Comment