Karibu Sana.

Cheka Unenepe

Sunday, June 13, 2010

Kibao cha shule

Mwalimu akimuuliza wanafuzi watatu waliochelewa shuleni:
Mwalimu: We Abraham kwa nini umechelewa leo?
Abraham: Kwa sababu ya kile kibao.
Mwalimu: Kibao gani?
Abraham: Cha barabarani ''school ahead go slow''
Mwalimu: !!

Mwalimu: Haya na wewe Kulwa kwa nini umechelewa shule?
Kulwa: Nilikua naota nimepanda KLM to...
Mwalimu: Na wewe doto kwa nini umechelewa?
Doto: Nilimsindkiza Kulwa Airport kwenye ndoto.

1 comment: