Karibu Sana.

Cheka Unenepe

Thursday, June 17, 2010

Maji jikoni

Mtoto mmoja alitumwa na mama yake akaangaliie maji aliyoyaacha jikoni kama tayari yamechemka.
Yule mtoto alipoenda na kukuta maji yanachemka akamuita mama yake kwa sauti ya kupaza ''mamaa... Mama.. Maji yanaungua hukuu!

No comments:

Post a Comment