Karibu Sana.

Cheka Unenepe

Thursday, June 17, 2010

Majibu mengine...

Dokta: Ndugu yangu nna habari mbaya na nzuri... Sijui nianze kukupa ipi?

Mgonjwa: Anza na mbaya.
Docta: Habari mbaya ni ndani ya miaka miwili utakuwa umekufa.
Mgonjwa: Eenh? Haya na hiyo habari nzuri je?
Docta: Una Alzheimer. Ndani ya miezi mitatu utasahau kila kitu nlichokuambia.

No comments:

Post a Comment