Karibu Sana.

Cheka Unenepe

Tuesday, June 15, 2010

Mgonjwa...

Mgonjwa mmoja aliekewa drip ya maji:

Mgonjwa: Nesi samahani naweza kuuliza?
Nesi: Uliza tu.
Mgonjwa: Haya maji ya kwenye drip ni ya Uhai au Kilimanjaro?

No comments:

Post a Comment