Karibu Sana.

Cheka Unenepe

Friday, June 18, 2010

Mvuvi

Mvuvi mmoja alikuwa anavua na ndoano yake huku amekaa kisehemu cha juu... Huku anawaza *hawa samaki leo wamefunga nini?*

Kidogo anatokea mamba na kumuuliza yule mtu ''unahitaji kitoweo?'' jamaa akajibu 'ndio.'

Mamba akamwambia ''sasa kwa nini usije kuogelea?''

No comments:

Post a Comment