Karibu Sana.

Cheka Unenepe

Monday, June 14, 2010

Ndoa

Mwanamke mmoja akizungumza kwa hasira na mumewe ''kabla sijaolewa, nlikua naenda out na wanaume wa maana zaidi yako''

Mumewe akamjibu ''naamini hilo'' kwa hasira akasisitiza ''hata hivyo walikuwa na akili ya ziada kutofanya makosa nliyofanya''

No comments:

Post a Comment