Karibu Sana.

Cheka Unenepe

Wednesday, June 16, 2010

Wallet part ii

Cha pombe mmoja alilewa na kuopoa changudoa. Mwisho wa siku akaja gundua baada ya yule changudoa kuondoka nae akagundua kumbe wallet yake pia imelambwa (kuibiwa).

Alipotoka nje ya ile guest house akamuuliza mlinzi ''aisee umeona wallet imepita hapa?''

*cheka unenepe*

No comments:

Post a Comment