Karibu Sana.

Cheka Unenepe

Monday, June 14, 2010

Wawili na wake

Wanaume wawili wakiwa katika maongezi yao ya kawaida.

Wa kwanza: Nnafurahi sana mke wangu ni malaika.

Wa pili: Ooh! Mimi wa kwangu bado yupo hai.

No comments:

Post a Comment