Karibu Sana.

Cheka Unenepe

Sunday, June 13, 2010

Bahiri...

Bahiri mmoja alinunua mbuzi akamwambia mpishi,

''sikiliza ee... nusu ya nyama ipikie pilau na nusu ingine iweke kwenye friza. Kichwa kichune tutafanya supu na miguu tutafanya mchuzi chukuchuku...
Ngozi usiitupe tutafanya msala. Utumbo tutapika na ndizi. Mifupa tutawauzia wenye mmbwa.
Mbuzi aliposikia akamuuliza ''hutaki sauti yangu uweke kwenye simu yako? (ringtone)

No comments:

Post a Comment