Karibu Sana.

Cheka Unenepe

Sunday, June 13, 2010

Baba na mama

Baba na mama walioana wakiwa na watoto wao kila mmoja toka alikotoka. Sasa siku moja watoto wao wakaanza kutwangana mangumi. Mkewe sasa wakati anamuita mumewe ilikuwa hivi:
''mume wangu.. Mume wangu... Wanao na wanangu wanapigana njoo haraka.''

No comments:

Post a Comment