Karibu Sana.

Cheka Unenepe

Sunday, June 13, 2010

Kapeti lenu

Siku moja jamaa mmoja alienda kuwatembelea rafiki zake, sasa wakati yupo mlangoni akiongea na wenyeji wake maongezi yao yalikuwa hivi:
Mwenyeji: Karibu bwana ndani, karibu.
Mgeni: Hapana usijali hapa hapa tu panatosha sikai sana.

Jamaa mwenyeji akazidi kusisitiza.
''karibu ndani bwana pita tu na viatu''
Mgeni: Aa! Naogopa kuingia na viatu kapeti lenu litanichafulia viatu vyangu.

No comments:

Post a Comment