Karibu Sana.

Cheka Unenepe

Sunday, June 13, 2010

Tugawane...

Jamaa mmoja wakati anasoma kwa ajili ya mitihani ya chuo na wenzake wanne baada ya kuona mambo hayapandi akasonya. Mwenzake mmoja akamuuliza ''kulikoni mwenzangu''
jamaa akajibu ''nasoma haviingii''
akaendelea kuongea kwa staili ya kubana pua ''halafu kesho na kesho kutwa tugawaane maali''
Room mate wenzake walicheka sana.
2006@Mabibo Hostel

No comments:

Post a Comment