Karibu Sana.

Cheka Unenepe

Sunday, June 13, 2010

Kituko cha maasai

Mmasai mmoja alipanda kwenye bus na mkewe! Baada ya safari ndeefu akamuuliza:

Maasai: Konda kwani mutu kama meoa naruhusiwa kula chakula yake.

Konda: Ndio.

Maasai baada ya kujibiwa akageuka na kuita.

Maasai: Mama yoyoo, leta ile chakula ya usiku.....

Watu kwenye basii ''aaaahh! Sio humu tafadhali... Sio humu... (maasai alikuwa ana maanisha malove davy na mkewe).

*CHEKA UNENEPE*

No comments:

Post a Comment