Karibu Sana.

Cheka Unenepe

Sunday, June 13, 2010

Gia ya bus...

Siku moja kwenye basi la abiria maasai mmoja alikuwa akimyangalia jinsi dereva anavyoendesha basi uku akiingiza gia moja nk nk.

Ilipofika muda wa kula baada ya safari ndefu dereva akapaki basi ili abiria wakapata kula cha mchana.
Waliporudi kwenye basi dereva akakuta gia ya basi imeng'olewa ndipo maasai akadakia ''asee rafiki me meona wewe napata shida ng'oa hii, me tayari saidia wewe''

Maasai muda wote alijua dereva anajaribu kuing'oa kumbe ni jinsi tu ya kuweka na kutoa gia.
Safari ikazorotea papo hapo.

No comments:

Post a Comment