Karibu Sana.

Cheka Unenepe

Thursday, June 17, 2010

Bar na wanywaji...

Wanywaji wawili walienda bar na kuagiza bia mbili. Zilipoletwa yule wa kwanza akasema ''muhudumu ngoja kwanza usiifungue'' akaichukua akaiangalia, akaigeuza geuza kisha akaiweka mezani.

Mwenzake akamuuliza, ''vipi unatafuta nini?''

Jamaa akamjibu ''we hujawasikia wachina?''

No comments:

Post a Comment