Karibu Sana.

Cheka Unenepe

Thursday, June 17, 2010

Kifo

Mtoto mmoja wa umri wa miaka mitano, siku moja alitoka shule na kukuta msiba kwao. Kalipofika kwa mama yake kakamuuliza mama ''mama mbona unalia?'' mama akamjibu ''baba yako amekufa mwanangu''

Kale katoto kakajibu ''sasa unalia nini?''
Mama akamshangaa mwanae na kumuuliza ''mwanangu why unasema hivyo?''

Mtoto akajibu ''me nilidhani dad ndo kakufa kumbe baba?''
Mtoto alizoea mwita baba yake dad siku zote.

No comments:

Post a Comment