Karibu Sana.

Cheka Unenepe

Saturday, June 19, 2010

Barafu

Kaka mmoja alienda kuomba maji ya kunywa kwa jirani.

Kaka: Habari?
Jirani: Nzuri tu karibu.
Kaka: Asante. Nilikuwa naomba maji ya kunywa.
Jirani: Hamna shida, lakini ya kawaida sina friji.
Jamaa: Haina shida nlishameza barafu asubuhi itapooza tumboni.
Jirani: ....!!

No comments:

Post a Comment